Ndipo walipomwendea Yerusalemu, na Uyahudi wote, na nchi zote za kandokando ya Yordani;
Ndipo Mafarisayo na waandishi toka Yerusalemu walipomwendea Yesu wakisema,
Ndipo wanafunzi wake walipomwendea, wakamwambia, Wajua ya kuwa Mafarisayo walipolisikia neno lile walichukizwa?
Basi wale Wasamaria walipomwendea, walimsihi akae kwao; naye akakaa huko siku mbili.