Skip to Content

"walipomwendea"

4 mara katika SUV

Ndipo walipomwendea Yerusalemu, na Uyahudi wote, na nchi zote za kandokando ya Yordani;

Ndipo Mafarisayo na waandishi toka Yerusalemu walipomwendea Yesu wakisema,

Ndipo wanafunzi wake walipomwendea, wakamwambia, Wajua ya kuwa Mafarisayo walipolisikia neno lile walichukizwa?

Basi wale Wasamaria walipomwendea, walimsihi akae kwao; naye akakaa huko siku mbili.