Skip to Content

"waliporudi"

3 mara katika SUV

Na wale waliotumwa waliporudi nyumbani, wakamkuta yule mtumwa ni mzima.

Basi wale mitume waliporudi walimweleza mambo yote waliyoyatenda; akawachukua, akaenda nao faraghani mpaka mji mmoja uitwao Bethsaida.

Ndipo wale sabini waliporudi kwa furaha, wakisema, Bwana, hata pepo wanatutii kwa jina lako.