Skip to Content

"waliposhuka"

4 mara katika SUV

Mbali na kelele za hao wapigao mishale, katika mahali pa kuteka maji, Hapo watatangaza matendo ya haki ya Bwana; Naam, matendo ya haki ya kutawala kwake katika Israeli. Ndipo watu wa Bwana waliposhuka malangoni.

Hata waliposhuka kutoka mahali pa juu na kufika mjini, akaongea na Sauli darini.

Ikawa siku ya pili yake, waliposhuka mlimani, mkutano mkubwa ulikutana naye.

ambao waliposhuka, wakawaombea wampokee Roho Mtakatifu;