Basi Naomi akarudi; pamoja na Ruthu Mmoabi, mkwewe; ambao walirudi kutoka nchi ya Moabu; nao wakafika Bethlehemu mwanzo wa mavuno ya shayiri.
Wale Waefraimu, wenye silaha, wapiga upinde, Walirudi nyuma siku ya vita.
Bali walirudi nyuma, wakahaini kama baba zao; Wakaepea kama upinde usiofaa.
Basi alipowaambia, Ni mimi, walirudi nyuma, wakaanguka chini.