Ikawa, Yesu alipoyamaliza maneno hayo, makutano walishangaa mno kwa mafundisho yake;
Wanafunzi waliposikia, walishangaa mno, wakisema, Ni nani basi awezaye kuokoka?
Na makutano waliposikia, walishangaa kwa mafunzo yake.
mara mkutano wote walipomwona walishangaa, wakamwendea mbio, wakamsalimu.
Wakuu wa makuhani na waandishi wakapata habari wakatafuta jinsi ya kumwangamiza; maana walimwogopa, kwa sababu mkutano wote walishangaa kwa mafundisho yake.