Skip to Content

"wamchukiao"

6 mara katika SUV

naye huwalipa wamchukiao mbele ya uso wao, kuwaangamiza. Hatakuwa mlegevu kwake yeye amchukiaye, atamlipa mbele ya uso wake.

Yehu mwana wa Hanani mwonaji akatoka kwenda kumlaki, akamwambia mfalme Yehoshafati, Je! Imekupasa kuwasaidia waovu, na kuwapenda wamchukiao Bwana? Kwa ajili ya hayo ghadhabu i juu yako itokayo kwa Bwana.

Uovu utamwua asiye haki, Nao wamchukiao mwenye haki watahukumiwa.

Bali wasio haki watapotea, Nao wamchukiao Bwana watatoweka, Kama uzuri wa mashamba, Kama moshi watatoweka.

Mungu huondoka, adui zake wakatawanyika, Nao wamchukiao huukimbia uso wake.

Wamchukiao Bwana wangenyenyekea mbele zake, Bali wakati wao ungedumu milele.