2 mara katika SUV
Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?
Wamefanana na watoto walioketi sokoni na kuitana, wakisema, Tuliwapigia filimbi wala hamkucheza; tuliomboleza, wala hamkulia.