Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao, kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena, msipokiharibu kitu kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu.
Umewakemea wenye kiburi, Wamelaaniwa waendao mbali na maagizo yako.
Lakini makutano hawa wasioifahamu torati wamelaaniwa.