Kisha Yoshua na watu wa Israeli wote walifanya kana kwamba wameshindwa mbele yao, wakakimbia kwa njia ya nyika.
Na Washami walipojiona kuwa wameshindwa mbele ya Israeli, wakakusanyika.
Na wafalme wote waliomtumikia Hadadezeri walipojiona kuwa wameshindwa mbele ya Israeli, walifanya amani na Israeli, wakawatumikia. Basi Washami wakaogopa kuwasaidia wana wa Amoni tena.
Moyo wake umethibitika hataogopa, Hata awaone watesi wake wameshindwa.