Skip to Content

"wampige"

4 mara katika SUV

na wamtoe nje yule kijana mlangoni pa nyumba ya baba yake, na waume wa mji wake wampige kwa mawe hata afe; kwa vile alivyofanya upumbavu katika Israeli, kwa kufanya ukahaba katika nyumba ya baba yake; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako.

Nikasema, Na wampige kilemba kizuri kichwani pake. Basi, wakampiga kilemba kizuri kichwani pake, wakamvika mavazi; naye malaika wa Bwana akasimama karibu.

Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.

Kuhani Mkuu Anania akawaamuru wale waliosimama karibu naye wampige kinywa chake.