2 mara katika SUV
Wamwagao damu humchukia mtu mkamilifu; Bali wenye haki humtunza nafsi yake.
Basi watu wenye haki watawahukumu, kwa hukumu iwapasayo wazinzi, na kwa hukumu iwapasayo wanawake wamwagao damu; kwa sababu wao ndio wazinzi, na mikononi mwao mna damu.