Mbona mataifa wanafanya ghasia, Na makabila wanatafakari ubatili?
Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya Bwana, Na juu ya masihi
Asiyeisikiliza sauti ya waganga, Ijapo wanafanya uganga kwa ustadi.
Maana adui zako wanafanya ghasia, Nao wakuchukiao wameviinua vichwa vyao.
Juu ya watu wako wanafanya hila, Na kushauriana juu yao uliowaficha.
Awakumbuka watu wake wenye heshima; Wanajikwaa katika mwendo wao; Wanafanya haraka waende ukutani; Nacho kitu cha kuwafunika kimewekwa tayari.
Na Mafarisayo walipoona, walimwambia, Tazama! Wanafunzi wako wanafanya neno ambalo si halali kulifanya siku ya sabato.
Mafarisayo wakamwambia, Tazama, mbona wanafanya lisilokuwa halali siku ya sabato?