Vinywani mwa watoto wachanga na wanyonyao Umeiweka misingi ya nguvu; Kwa sababu yao wanaoshindana nawe; Uwakomeshe adui na mijilipiza kisasi.
Ee Mungu wangu, uniponye na adui zangu, Uniinue juu yao wanaoshindana nami.
Niangalie, Ee Bwana, ukasikilize sauti ya wanaoshindana nami.