Skip to Content

"wanatafuta"

5 mara katika SUV

Maskini na wahitaji wanatafuta maji, wala hapana; ndimi zao zimekauka kwa kiu; mimi, Bwana, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.

Kwa sababu Wayahudi wanataka ishara, na Wayunani wanatafuta hekima;

wale ambao kwa saburi katika kutenda mema wanatafuta utukufu na heshima na kutokuharibika, watapewa uzima wa milele;

Maana wote wanatafuta vyao wenyewe, sivyo vya Kristo Yesu.

Maana hao wasemao maneno kama hayo waonyesha wazi kwamba wanatafuta nchi yao wenyewe.