Skip to Content

"wanena"

4 mara katika SUV

Mkutano wote wa Bwana wanena, Ni kosa gani hili mlilolikosa juu ya Mungu wa Israeli, hata mkakengeuka hivi leo na kuacha kumwandama Bwana, katika kujijengea madhabahu, na kuasi hivi leo juu ya Bwana?

Lakini yeye akamwambia, Wewe wanena kama mmoja wa hao wanawake wapumbavu anenavyo. Je! Tupate mema mkononi mwa Mungu, nasi tusipate na mabaya? Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi kwa midomo yake.

Wote wana karama za kuponya wagonjwa? Wote wanena kwa lugha? Wote wafasiri?

Hao ni wa dunia; kwa hiyo wanena ya dunia na dunia huwasikia