Skip to Content

"wanichukia"

2 mara katika SUV

Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe?

Wasiri wangu wote wanichukia; Na hao niliowapenda wamenigeukia.