nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.
Wanipendao na rafiki zangu wanasimama mbali na pigo langu; Naam, karibu zangu wamesimama mbali.
Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.
Niwarithishe mali wale wanipendao, Tena nipate kuzijaza hazina zao.