Skip to Content

"wapendeni"

5 mara katika SUV

lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,

Lakini nawaambia ninyi mnaosikia, Wapendeni adui zenu, watendeeni mema wale ambao wawachukia ninyi,

Bali wapendeni adui zenu, tendeni mema, na kukopesha msitumaini kupata malipo, na thawabu yenu itakuwa nyingi; nanyi mtakuwa wana wa Aliye juu, kwa kuwa yeye ni mwema kwa wasiomshukuru, na waovu.

Ninyi waume, wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao.

Waheshimuni watu wote. Wapendeni ndugu. Mcheni Mungu. Mpeni heshima mfalme.