Lakini mwanadamu hadumu katika heshima, Bali amefanana na wanyama wapoteao.
Mwanadamu mwenye heshima, iwapo hana akili, Amefanana na wanyama wapoteao.
Tazama, nitaleta hofu juu yako, asema Bwana, Bwana wa majeshi, itakayotoka kwa wote wakuzungukao; nanyi mtafukuzwa nje, kila mtu mbali kabisa, wala hapana mtu wa kuwakusanya wapoteao.