Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu ye yote ya kwamba yeye ndiye Kristo.
Akawaonya wasimwambie mtu; lakini kadiri ya alivyozidi kuwaagiza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari;
Akawaonya wasimwambie mtu habari zake.
Wazazi wake wakastaajabu sana, lakini akawakataza wasimwambie mtu lililotukia.
Akawaonya, akawakataza wasimwambie mtu neno hilo;