Skip to Content

"wasimwambie"

5 mara katika SUV

Ndipo alipowakataza sana wanafunzi wake wasimwambie mtu ye yote ya kwamba yeye ndiye Kristo.

Akawaonya wasimwambie mtu; lakini kadiri ya alivyozidi kuwaagiza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari;

Akawaonya wasimwambie mtu habari zake.

Wazazi wake wakastaajabu sana, lakini akawakataza wasimwambie mtu lililotukia.

Akawaonya, akawakataza wasimwambie mtu neno hilo;