tena tangu waliopata umri wa miaka hamsini wataacha kutumika huo utumishi, wasitumike tena;
lakini watatumika pamoja na ndugu zao katika hema ya kukutania, kushika ulinzi, lakini wasitumike katika huo utumishi tena. Ndivyo utakavyowafanyia Walawi katika mambo ya ulinzi wao.