2 mara katika SUV
Kisha mataifa wataliogopa jina la Bwana, Na wafalme wote wa dunia utukufu wako;
Basi, wataliogopa jina la Bwana toka magharibi, na utukufu wake toka maawio ya jua; maana yeye atakuja kama mkondo wa mto ufurikao, uendeshwao kwa pumzi ya Bwana.