Bali wasio haki watapotea, Nao wamchukiao Bwana watatoweka, Kama uzuri wa mashamba, Kama moshi watatoweka.
Maana wajitengao nawe watapotea; Umewaangamiza wote waliokuacha Wewe.
Ni ubatili tu, ni kazi za udanganyifu; Wakati wa kujiliwa kwao watapotea.
Ni ubatili tu, ni kazi za udanganyifu; Wakati wa kujiliwa kwao watapotea.
Kwa kuwa wote waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na wote waliokosa, wenye sheria, watahukumiwa kwa sheria.