miaka mitatu ya njaa; au miezi mitatu kuangamia mbele ya adui zako, ukipatwa na upanga wa watesi wako; au siku tatu upanga wa Bwana, yaani tauni katika nchi, na malaika wa Bwana akiharibu kati ya mipaka yote ya Israeli. Haya basi ufikiri ni jawabu gani nimrudishie yeye aliyenituma.
Tena ameziwasha ghadhabu zake juu yangu, Akanihesabia kuwa mmoja katika watesi wake.
Bwana, watesi wangu wamezidi kuwa wengi, Ni wengi wanaonishambulia,
Adui yangu asije akasema, Nimemshinda; Watesi wangu wasifurahi ninapoondoshwa.
Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.
Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.
Usinitie katika nia ya watesi wangu; Maana mashahidi wa uongo wameniondokea, Nao watoao jeuri kama pumzi.
Kwa sababu ya watesi wangu nimekuwa laumu, Naam, hasa kwa jirani zangu; Na kitu cha kutisha kwa rafiki zangu; Walioniona njiani walinikimbia.
Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?
Kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu, Maana Yeye atawakanyaga watesi wetu.
Wewe umejua kulaumiwa kwangu, Na kuaibika na kufedheheka kwangu, Mbele zako Wewe wako watesi wangu wote.
Watesi wako wamenguruma kati ya kusanyiko lako; Wameweka bendera zao ziwe alama.
Usiisahau sauti ya watesi wako, Ghasia yao wanaokuondokea inapaa daima.
Akawapiga watesi wake akawarudisha nyuma, Akawatia aibu ya milele.
Ningewadhili adui zao kwa upesi, Na juu ya watesi wao ningegeuza mkono wangu;
Bali nitawaponda watesi wake mbele yake, Nitawapiga wanaomchukia.
Umeutukuza mkono wa kuume wa watesi wake; Umewafurahisha wote wanaomchukia.
Akawajalia watu wake wazae sana, Akawafanya kuwa hodari kuliko watesi wao.
Kwa msaada wa Mungu tutatenda makuu, Maana Yeye atawakanyaga watesi wetu.
Moyo wake umethibitika hataogopa, Hata awaone watesi wake wameshindwa.
Juhudi yangu imeniangamiza, Maana watesi wangu wameyasahau maneno yako.
Wanaonifuatia na watesi wangu ni wengi, Lakini sikujiepusha na shuhuda zako.
kwa sababu mimi nitawapa kinywa na hekima ambayo watesi wenu wote hawataweza kushindana nayo wala kuipinga.