Hata wakafanya kilio cha maskini kumfikilia, Naye akasikia kilio cha hao wateswao.
Hauhifadhi uhai wa waovu; Lakini huwapa wateswao haki yao.
naye ameshuhudiwa kwa matendo mema; ikiwa amelea watoto, ikiwa amekaribisha wageni, ikiwa amewaosha watakatifu miguu, ikiwa amewasaidia wateswao, ikiwa amefuata kwa bidii kila tendo jema.