Kazi yake ni heshima na adhama, Na haki yake yakaa milele.
Nyumbani mwake mna utajiri na mali, Na haki yake yakaa milele.
Amekirimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.
kama ilivyoandikwa, Ametapanya, amewapa maskini, Haki yake yakaa milele.
Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.