Ili kukuokoa na njia ya uovu, Na watu wanenao yaliyopotoka;
Afumbaye macho, kusudi lake ni kuwaza yaliyopotoka; Aikazaye midomo yake hutokeza mabaya.
Macho yako yataona mambo mageni; Na moyo wako utatoa yaliyopotoka.
Yaliyopotoka hayawezi kunyoshwa, Wala yasiyokuwapo hayahesabiki.