Skip to Content

"yashobeamu"

4 mara katika SUV

Haya ndiyo majina ya mashujaa aliokuwa nao Daudi; Yashobeamu

Elkana, na Ishia, na Azaleli, na Yoezeri, na Yashobeamu, Wakora;

Na hii ndiyo hesabu ya hao mashujaa aliokuwa nao Daudi; Yashobeamu, Mhakmoni, mkuu wa maakida; huyo aliuinua mkuki wake juu ya watu mia tatu, akawaua pamoja.

Juu ya zamu ya kwanza ya mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu, mwana wa Zabdieli; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.