Haya ndiyo majina ya mashujaa aliokuwa nao Daudi; Yashobeamu
Elkana, na Ishia, na Azaleli, na Yoezeri, na Yashobeamu, Wakora;
Na hii ndiyo hesabu ya hao mashujaa aliokuwa nao Daudi; Yashobeamu, Mhakmoni, mkuu wa maakida; huyo aliuinua mkuki wake juu ya watu mia tatu, akawaua pamoja.
Juu ya zamu ya kwanza ya mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu, mwana wa Zabdieli; na katika zamu yake walikuwa watu ishirini na nne elfu.