wa Yashubu, jamaa ya Wayashubu; wa Shimroni, jamaa ya Washimroni.
Na wana wa Isakari; Tola, na Puva, na Yashubu, na Shimroni, wanne.
Na wa wana wa Bani; Meshulamu, na Maluki, na Adaya, na Yashubu, na Sheali, na Yeremothi.
Basi Bwana akamwambia Isaya, Haya, toka, umlaki Ahazi, wewe na Shear-yashubu mwana wako, huko mwisho wa mfereji wa birika la juu, katika njia kuu ya uwanja wa dobi;