Skip to Content

"yatamtazama"

3 mara katika SUV

Nami nitamwona mimi nafsi yangu, Na macho yangu yatamtazama, wala si mwingine.

Katika siku hiyo mwanadamu atamwangalia Muumba wake, na macho yake yatamtazama Mtakatifu wa Israeli.

Ndipo adui yangu ataliona jambo hilo, na aibu itamfunika, yeye aliyeniambia, Yuko wapi Bwana, Mungu wako? Macho yangu yatamtazama; sasa atakanyagwa kama matope ya njia kuu.