Skip to Content

"yatendeke"

6 mara katika SUV

Haya basi! Na tufanye agano na Mungu wetu, kuachana na wake zetu, na wale waliozaliwa nao, tukilifuata shauri la bwana wangu, na shauri la hao wanaoitetemekea amri ya Mungu wetu; mambo haya na yatendeke kwa kuifuata torati.

akisema, Ee Baba, ikiwa ni mapenzi yako, uniondolee kikombe hiki; walakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke.

Alipokataa shauri letu, tukanyamaza tukisema, Mapenzi ya Bwana na yatendeke.

Basi, ndugu, imekuwaje? Mkutanapo pamoja, kila mmoja ana zaburi, ana fundisho, ana ufunuo, ana lugha, ana tafsiri. Mambo yote na yatendeke kwa kusudi la kujenga.

Lakini mambo yote na yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu.

Mambo yenu yote na yatendeke katika upendo.