Na katika nchi ya vilima, Shamiri, na Yatiri, na Soko;
na Yatiri pamoja na malisho yake, na Eshtemoa pamoja na malisho yake;
yaani, kwa hao wa Betheli, na kwa hao wa Ramoth-Negebu, na kwa hao wa Yatiri;
Na wana wa Haruni wakapewa miji ile ya kukimbilia, nayo ni Hebroni, tena Libna pamoja na viunga vyake, na Yatiri, na Eshtemoa pamoja na viunga vyake;