Skip to Content

"yedaya"

13 mara katika SUV

na Ziza, mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya;

Na katika makuhani; Yedaya, na Yehoyaribu, na Yakini;

Kura ya kwanza ikamtokea Yehoiaribu, na ya pili Yedaya;

Makuhani; wana wa Yedaya, wa mbari ya Yeshua, mia kenda sabini na watatu.

Na baada yao akafanyiza Yedaya, mwana wa Harumafu, kuielekea nyumba yake. Na baada yake akafanyiza Hatushi, mwana wa Hashabneya.

Makuhani; Wana wa Yedaya, wa mbari ya Yeshua, mia kenda sabini na watatu.

Wa makuhani; Yedaya, Yoyaribu, Yakini,

Shemaya, Yoyaribu, Yedaya;

Salu, Amoki, Hilkia, Yedaya. Hawa walikuwa wakuu wa makuhani na ndugu zao siku za Yoshua.

wa Yoyaribu, Matenai; wa Yedaya, Uzi;

wa Hilkia, Hashabia; wa Yedaya, Nethaneli.

Pokea vitu mikononi mwa baadhi ya watu waliohamishwa, yaani, Heldai, na Tobia, na Yedaya; na siku iyo hiyo enenda ukaingie katika nyumba ya Yosia, mwana wa Sefania, waliyoifikia kutoka Babeli;

Na hizo taji zitakuwa za Heldai, na Tobia, na Yedaya; na kwa fadhili za mwana wa Sefania; ziwe ukumbusho katika hekalu la Bwana.