Kisha ikawa, hapo huyo Yabini, mfalme wa Hazori, aliposikia habari ya mambo hayo, akatuma mjumbe aende kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni, na mfalme wa Akshafu,
na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.
Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake.
Yobabu akafa, naye Hushamu, wa nchi ya Watemani, akamiliki badala yake.
Akazaliwa na Hodeshi, mkewe; Yobabu, na Sibia, na Mesha, na Malkamu;
na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.