Zikumbukeni ajabu zake alizozifanya; Miujiza yake na hukumu za kinywa chake;
Zikumbukeni ajabu zake alizozifanya, Miujiza yake na hukumu za kinywa chake.
Lakini zikumbukeni siku za kwanza, ambazo, mlipokwisha kutiwa nuru, mlistahimili mashindano makubwa ya maumivu;