Siku zake za kuzaa zilipotimia, tazama! Mapacha walikuwamo tumboni mwake.
Hata siku hizo zilipotimia, mfalme akawafanyia karamu watu wote waliokuwapo huko Shushani ngomeni, wakubwa kwa wadogo, muda wa siku saba, katika behewa la bustani ya ngome ya mfalme.
Ikawa, siku za kuzaa kwake Elisabeti zilipotimia, alizaa mtoto mwanamume.