Skip to Content

"zilizokuwamo"

3 mara katika SUV

Wakazitoa nguzo zilizokuwamo nyumbani mwa Baali, wakaziteketeza.

Naye yule kuhani akawapa wakuu wa mamia mikuki na ngao zilizokuwa za mfalme Daudi, zilizokuwamo nyumbani mwa Bwana.

Wakainuka, wakaziondoa madhabahu zilizokuwamo Yerusalemu, nazo madhabahu za kufukizia wakaziondoa, wakazitupa katika kijito Kidroni.